و در حقیقت، پیش از آن [که موسی بازگردد،] هارون نیز به آنها گفته بود: «اى قوم من، جز این نیست كه شما با این [گوساله] امتحان شدهاید و بىتردید، پروردگار [حقیقىِ] شما [الله] رحمان است؛ پس پیرو من باشید و از فرمانم اطاعت كنید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwa kweli, Hārūn aliwaambia Wana wa Isrāīl kabla Mūsā hajarudi kuwajia, «Enyi watu wangu, hakika nyinyi mumetahiniwa na huyu kigombe, ili aonekana wazi mwenye Imani miongoni mwenu apate kujitenga na mwenye kukanusha. Kwa hakika Mola wenu ni Al-Rahmān (Mwingi wa Rehema) si mwingine. Basi nifuateni katika lile ninalowaitia la kumuabudu Mwenyezi Mungu na muitii amri yangu katika kufuata sheria Yake.»