[ای پیامبر،] این گونه از اخبار [و داستانهای پیامبران] گذشته بر تو حکایت میکنیم؛ و به راستی که [ما] از جانب خویش به تو قرآنی [پندآموز] دادهایم.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kama tulivyokusimulia, ewe Mtume, habari za Mūsā na Fir'awn na watu wao, tunakupa habari za waliokutangulia wewe. Na tumekuletea hii Qur’ani kutoka kwetu iwe ni ukumbusho kwa mwenye kujikumbusha.