[پیامبران] گفتند: «شومیِ شما با خودتان [و ناشی از کفر و گناه] است. آیا اگر پندتان دهند [آن را شوم میپندارید؟] بلکه [حقیقت این است که شما در ارتکاب گناه،] مردمی اسرافکارید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wajumbe wakasema, «Kisirani chenu na matendo yenu ya ushirikina na ya shari yako na nyinyi na yanarudishwa kwenu nyinyi. Je, nyinyi mkiwaidhiwa kwa jambo ambalo lina kheri kwenu mnajihisi mmeingiliwa na kisrani na mnatutisha kuwa mtatupiga mawe na kutuadhibu? Bali nyinyi ni watu ambao desturi yenu ni kupita kiasi katika uasi na ukanushaji.