[مثال گمراهیِ کافران، چنان است که گویی] ما زنجیرهایی بر گردنهایشان نهادهایم که تا زیر چانههایشان [پیچیده شده] است، چنان كه سرهایشان بالا مانده است [و از انجام هر خیری عاجزند و راه هدایت را نمییابند].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika sisi tumewafanya hawa makafiri, ambao walionyeshwa haki wakaikataa na wakawa wakakamavu kushikilia ukafiri na kuacha kuamini, ni kama wale waliofungwa pingu shingoni mwao, ikakusanywa pamoja mikono yao pamoja na shingo zao chini ya videvu vyao, wakalazimika kuinua juu vichwa vyao. Basi wao wamefungwa na kuepushwa na kila kheri, hawaioni haki wala hawaongoki kuifuata.