[در آغاز،] مردم جز امتی واحد [که الله را به یگانگی عبادت میکردند] نبودند، سپس اختلاف کردند؛ و اگر پیشتر [در مورد مهلت به گناهکاران و حسابرسی در قیامت] سخنی از جانب پروردگارت بیان نشده بود، یقیناً [در همین دنیا] دربارۀ آنچه با هم اختلاف مىكنند، میانشان داورى مىشد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Watu walikuwa kwenye dini moja, nayo ni Uislamu, kisha wakatafautiana baada ya hapo, wakakufuru baadhi yao na wengine wakasimama imara juu ya haki. Na lau kwamba si neno lilitangulia kutoka kwa Mwenyezi Mungu la kuwapa muhula wenye kuasi na kutowafanyia haraka kuwapatiliza kwa madhambi yao, basi wangaliamuliwa baina yao kwa kuwaangamiza watu wa ubatilifu miongoni mwao na kuwaokoa watu wa ukweli.