آنجاست كه هر كسى آنچه را از پیش فرستاده است [بررسی کرده و] مىآزماید و همگی به سوی الله ـ کارسازِ حقیقیشانـ بازگردانده میشوند و دروغهایی که [دربارۀ شفاعت معبودها] میبافتند همه محو و نابود میگردد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Katika kisimamo hiko cha kuhesabiwa, kila nafsi itazipekua na kuziona hali zake na matendo yake, na italipwa kulingana na hayo : yakiwa ni mema atalipwa mema na yakiwa ni maovu atalipwa maovu. Na wote watarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu Aliye Muamuzi Muadilifu. Hapo watu wa Peponi watatiwa Peponi, na watu wa Motoni watatiwa Motoni, na vitawaondokea washirikina vile ambavyo walikua wakiviabudu badala ya Mwenyezi Mungu kwa kumzulia Yeye urongo.