آیا پس از آنکه [عذاب] واقع شد آن را باور میکنید؟ آیا اکنون [ايمان میآورید]؟ و حال آنکه [پیشتر] آن [= عذاب] را به شتاب میخواستید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Je, baada ya kushuka adhabu ya Mwenyezi Mungu kwenu, enyi washirikina, ndipo mtaamini, wakati ambapo Imani haitawafaa? Wakati huo mtaambiwa, ‘Je, sasa ndipo mnaamini na hapo nyuma mlikuwa mnaifanyia haraka?’»