یکی [دیگر] از آنان گفت: «یوسف را نکشید و اگر [میخواهید] کاری انجام دهید، او را در قعر چاه بیندازید تا برخی از مسافران [کاروان] او را برگیرند [و با خود به جایی دور ببرند]».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Akasema mwenye kusema, miongoni mwa ndugu za Yūsuf, «Msimuue Yūsuf, na mtupeni ndani ya kisima ataokotwa na wapita njia miongoni mwa wasafiri, na hapo mtapumzika na yeye; na hakuna haja ya nyinyi kumuua, iwapo muna azma ya kulifanya hilo mnalolisema.