من هرگز خود را بیگناه نمیشمارم. بیشک، نفس [وسوسهگرِ انسان، او را] پیوسته به بدی فرمان میدهد مگر نفس [کسی] که پروردگارم به او رحم كند. بیتردید، پروردگارم آمرزندۀ مهربان است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Akasema mke wa kiongozi,»Sijisafishi nafsi yangu, kwani nafsi inamwamrisha mtu sana kufanya maasia, kwa kutaka kupata utamu wa inavyopenda, isipokuwa yule ambaye Mwenyezi Mungu Amemhifadhi. Kwani Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe dhambi za waliotubia miongoni mwa waja Wake, ni Mwenye huruma nao sana.»