و پادشاه گفت: «او [= یوسف] را نزدم بیاورید [تا مشاورِ] ویژۀ خود گردانم». پس چون [یوسف نزدش آمد و] با وی صحبت کرد، [پادشاه] گفت: «تو امروز نزد ما ارجمند [و] امین هستی».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mfalme, mtawala wa Misri, ilipomfikia habari kwamba Yūsuf hana hatia, alisema, «Mleteni kwangu nipate kumfanya ni miongoni mwa marafiki wangu wa kikweli na washauri wangu.» Yūsuf alipokuja, na mfalme akasema na yeye, akajua kwamba yeye hana hatia na kwamba ni muaminifu sana na ni mwenye tabia njema, alimwambia, «Wewe leo hapa kwetu una heshima kubwa na unaaminiwa kwa kila kitu.»