[برادران یوسف] گفتند: «به الله سوگند، شما میدانید که ما نیامدهایم تا در این سرزمین فساد کنیم و ما [هرگز] دزد نبودهایم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ndugu zake Yūsuf wakasema, «Tunaapa kwa Mwenyezi Mungu, nyinyi mna uhakika kwa mliyoyashuhudia kutoka kwetu kwamba sisi hatukuja nchi ya Misri kufanya uharibifu, na si katika sifa zetu kuwa wezi.»