و چون کاروان [از مصر به سوی کنعان] به راه افتاد، پدرشان [به اطرافیانش] گفت: «اگر مرا کمخرد نشمارید، [میگویم که] یقیناً بوی یوسف را احساس میکنم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Msafara ulipotoka nchi ya Misri wakiwa na ile kanzu, Ya’qūb alisema kuwaambia wale waliokuwa na yeye, «Mimi nasikia harufu ya Yūsuf, ingawa nyinyi mtanifanya ni mchache wa akili, mtanicheza shere na mtadai kwamba maneno haya yametoka kwangu bila ya fahamu.»