[همگی به مصر رفتند و] چون بر یوسف وارد شدند، او پدر و مادرش را [در آغوش گرفت و] نزد خود جای داد و گفت: «[همگی] به مصر درآیید که ان شاء الله [از هر گونه آزاری] ایمن خواهید بود».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ya’qūb na watu wa nyumbani kwake wakatoka kuelekea Misri wakimkusudia Yūsuf. Walipofika kwake, Yūsuf aliwakumbatia wazazi wake wawili na akawaambia (wao wote), «Ingieni Misri kwa matakwa ya Mwenyezi Mungu na hali mkiwa mko kwenye amani na mumeepukana na shida, ukame na kila zito.»