If they deny you, so did those before them. Their messengers came to them with clear proofs, divine Books, and enlightening Scriptures.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanapokukanusha washirikina hawa , basi wale waliopita kabla yao waliwakanusha Mitume wao ambao waliwajia na miujiza iliyo wazi yenye kutolea ushahidi unabii wao, na waliwajia na Vitabu, ambavyo ndani yake zimekusanywa hukumu nyingi, na (waliwajia na) Kitabu chenye kutoa mwangaza chenye kubainisha njia ya kheri na shari.