Se connecter
Se connecter
Se connecter
Sélectionner la langue

Tafsir: Al-'Adiyate 100:1

100:1
والعاديات ضبحا ١
وَٱلْعَـٰدِيَـٰتِ ضَبْحًۭا ١
وَٱلۡعَٰدِيَٰتِ
ضَبۡحٗا
١
Par les coursiers qui halètent,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu Anaapa kwa farasi wenye kwenda shoti katika njia Yake kumkabili adui, wakitoa sauti kwa kasi ya kukimbia. Haifai kwa kiumbe kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.