Sont égaux pour lui, celui parmi vous qui tient secrète sa parole, et celui qui la divulgue ; ainsi que celui qui se cache la nuit et celui qui se montre au grand jour.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Analingana, katika ujuzi Wake Aliyetukuka, yule anayesirisha maneno, katika nyinyi, na anayedhihirisha. Na analingana Kwake yule anayefanya matendo yake kwa siri ndani ya giza la usiku na yule mwenye kuyafanya waziwazi kwenye mwangaza wa mchana.