Et ceux qui ont mécru disent : "Pourquoi n’a-t-on pas fait descendre sur celui-ci (Mohammed) un miracle venant de son Seigneur ?" Tu n’es qu’un avertisseur, et à chaque peuple un guide.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na makafiri wa Makkah wanasema, «Basi si ajiwe na miujiza inayoonekana kama fimbo ya Mūsā na ngamia wa Ṣāliḥ.» Na hilo haliko kwenye mkono wako, ewe Mtume; hukuwa wewe isipokuwa ni mwenye kuwafikishia na ni mwenye kuwatisha adhabu ya Mwenyezi Mungu. Na kila ummah una mjumbe wa kuwaongoza kwenye njia ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.