Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Hijr 15:71

15:71
قال هاولاء بناتي ان كنتم فاعلين ٧١
قَالَ هَـٰٓؤُلَآءِ بَنَاتِىٓ إِن كُنتُمْ فَـٰعِلِينَ ٧١
قَالَ
هَٰٓؤُلَآءِ
بَنَاتِيٓ
إِن
كُنتُمۡ
فَٰعِلِينَ
٧١
He said, “O my people! Here are my daughters1 ˹so marry them˺ if you wish to do so.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lūṭ akasema kuwaambia, «Hawa wanawake wenu ni mabinti zangu, waoeni iwapo mnataka kumaliza hamu zenu, wala msiyafanye mliyokatazwa na Mwenyezi Mungu ya kuwajia wanaume.» Amewaita hao wanawake kuwa ni mabinti zake, kwa kuwa Nabii wa ummah ana cheo cha baba kwao.