Nous avions décrété pour les Enfants d’Israël, (et annoncé) dans le Livre : "Par deux fois vous sèmerez la corruption sur Terre et vous allez transgresser d’une façon excessive."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na tuliwapasha habari Wana wa Isrāīl katika Taurati ambayo waliteremshiwa kwamba yeye hapana budi itatukia kutoka kwao uharibifu mara mbili katika Bayt al- Maqdis na sehemu zinazofuatia kwa kudhulumu, kuua Manabii, kufanya kiburi, kupita kiasi na kufanya uadui.