Penses-tu que les gens de la Caverne et d’Ar-Raquîm ont constitué une chose extraordinaire d’entre Nos prodiges ? 1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Usidhani kwamba kisa cha watu wa pangoni (asḥāb al-kahf) na ubao ulioandikwa majina yao ni jambo geni la ajabu miongoni mwa alama zetu. Kuumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni jambo la ajabu zaidi kuliko hilo.