Ceux donc qui croient et font de bonnes œuvres auront un pardon et une provision généreuse,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Basi wale wenye kumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na imani hiyo ikajikita kwenye nyoyo zao na wakafanya matendo mema, watapata msamaha wa dhambi zao kutoka kwa Mola wao na sitara ya kufinika matendo ya uasi yaliyotokana na wao na riziki nzuri isiyokatika nayo ni Pepo.