À Lui appartient ce qui est dans les cieux et sur la Terre. Allah est le seul qui se suffit à Lui-Même et qui est Le Digne de louange !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ni vya Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, vilivyoko ardhini na mbinguni, kwa kuviumba, kuvimiliki na kuwa chini ya usimamizi wake, kila kimoja kati ya hizo kinahitajia uendeshaji Wake na maneemesho Yake. Na hakika Mwenyezi Mungu Ndie Aliye Mkwasi ambaye Hahitajii kitu chochote, Anayeshukuriwa kwa kila namna.