et ceux dont la balance sera légère seront ceux qui auront ruiné leurs propres âmes et ils demeureront éternellement dans l’Enfer.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na yule ambaye mema yake yatakuwa machache kwenye mizani na maovu yake yatakuwa mengi zaidi, na kubwa zaidi ya hayo maovu ni ushirikina, basi hao ndio ambao wamepita patupu na wakaziangamiza nafsi zao kwenye moto wa Jahanamu, watasalia humo milele.