Ils diront : "Notre Seigneur ! Notre malheur nous a vaincus, et nous étions des gens égarés.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wakikubali kuwa Mitume wao waliwapelekea ujumbe na wakawaonya, watasema Siku ya Kiyama, «Mola wetu! Raha zetu, na pia matamanio yetu yalikadiriwa kwetu kwenye ujuzi wako uliotangulia, zilitutawala na kwa hivyo tukawa, katika matendo yetu, ni wenye kupotea na kuwa kando ya njia ya uongofu.