si ce n’est qu’avec leurs épouses ou les esclaves qu’ils possèdent , car là vraiment, on ne peut les blâmer ; 1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Isipokuwa kwa wake zao au wajakazi waliomilikiwa na mikono yao ya kulia. Hao, Waumini hawana lawama wala makosa kuwaingilia na kujistarehesha nao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewahalalishia.