enflant d’orgueil, et vous les dénigriez au cours de vos veillées."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Mnalifanya hilo na huku mnawaonesha watu kiburi pasi na haki kwa sababu ya Nyumba ya Mwenyezi Mungu tukufu. Mnasema, ‘Sisi ni watu wa Nyumba hiyo, hatushindwi tukiwa hapo,’ na mnakesha mkiwa kando-kando yake kwa maneno maovu.»