Dans des maisons [des mosquées] qu’Allah a permis que L’on élève, et où Son Nom est invoqué ; Le glorifient en elles matin et après- midi,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Nuru hii inayong’ara kwenye misikiti ambayo Mwenyezi Mungu Ameamrisha itukuzwe, ijengwe na jina Lake litajwe humo kwa kusoma Kitabu Chake na kuleta tasbihi (subhān Allāh) na kuleta tahlili (Allāh Akbar) na yasiyokuwa hayo katika aina mbalimbali za kumtaja. Wanaswali kwenye misikiti hiyo kwa ajili ya Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni.