Allah fait alterner la nuit et le jour. Il y a là un sujet de réflexion pour ceux qui sont clairvoyants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa ushahidi wa kutolea dalili uweza wa Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, kwamba Yeye Anaugeuza usiku na mchana kwa kuja mmoja wapo baada ya mwingine na kutafautiana kwao kwa urefu na ufupi. Katika hilo pana ushahidi kwa mtu mwenye busara na kuizingatia.