Ne pense point que ceux qui ne croient pas puissent s’opposer à l’autorité d’Allah sur terre. Le Feu sera leur refuge. Quelle mauvaise destination.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Msidhani tena msidhani kwamba wale waliokufuru wanamshinda Mwenyezi Mungu katika ardhi, kwani Yeye ni Muweza wa kuwaangamiza, na marejeo yao, huko Akhera ni Motoni. Na ni mabaya sana marejeo haya na mwisho huu. Maneno haya ni maelekezo kwa ummah wote, ingawa anayeambiwa hapa ni Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.