Il m’a, en effet, égaré loin du Rappel [le Coran], après qu’il me soit parvenu." Et le Diable (Satan) déserte l’homme (après l’avoir tenté).
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Amenipoteza rafiki huyu na kuniepusha na Qur’ani baada ya kunijia» Na Shetani aliyefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu amekuwa daima ni mwenye kumtupa mwanadamu. Katika aya hizi kuna onyo kwamba rafiki mbaya asifuatwe, kwani yeye huenda akawa ni sababu ya kumtia, yule anayefuatana na yeye, Motoni.