Puis Nous avons dit : "Allez tous deux vers les gens qui ont traité de mensonge Nos preuves !" Nous les avons alors détruits complètement.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
na tukawaambia wao wawili,»Endeni kwa Fir’awn na watu wake waliozikanusha dalili za uola[ wetu na uungu wetu.» Basi wakawaendea na wakawalingania wamuamini Mwenyezi Mungu, wamtii na wasimshirikishe. Wakawakanusha, na kwa hivyo tukawaangamiza maangamivu makubwa.