que ma poitrine ne se serre, et que ma langue ne soit embarrassée. Envoie donc Aaron.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
na moyo wangu ukaingia kero kwa kunikanusha, na ulimi wangu usiwe na ufasaha wa kulingania. Basi mtume Jibrili aende na wahyi kwa ndugu yangu Hārūn, ili anisaidie na aniamini kwa ninayoyasema, na awafafanulie kile ninachowaambia, kwani yeye ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi.