Et il tira sa main et voilà qu’elle apparut blanche (étincelante) à ceux qui regardaient.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na akautoa mkono wake kwenye uwazi wa kanzu yake uliofunguliwa kifuani au chini ya kwapa lake, na papo hapo ukawa mweupe kama barafu, na sio weupe wa mbalanga, ukawashangaza waangaliaji.