Il abreuva [les bêtes] pour elles, puis retourna à l’ombre et dit : "Seigneur ! J’ai grand besoin du bien que tu feras descendre vers moi."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Basi Mūsā akawachotea maji wanyama wa wale wanawake wawili, kisha akageuka kwenda kwenye kivuli cha mti kujifinika nacho na akasema, «Mola wangu! Hakika mimi ni mhitaji wa wema wako wowote ule utakaoniletea,» kama vile chakula. Na njaa ilikuwa imemshika sana.