And my brother Aaron is more eloquent than I, so send him with me as a helper to support what I say, for I truly fear they may reject me.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na ndugu yangu, Hārūn, ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi, basi mtume yeye pamoja na mimi awe msaidizi wangu, ataniamini na atawafafanulia wao yale ninayowaambia. Mimi ninachelea wasije wakanikanusha mimi kwa maneno yangu nitakayowaambia kwamba mimi nimetumilizwa kwao.»