C’est de par Sa miséricorde qu’Il vous a assigné la nuit et le jour pour que vous vous reposiez et cherchiez de Sa grâce, et afin que vous soyez reconnaissants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa rehema Yake kwenu, enyi watu, ni kuwafanyia usiku na mchana Akatafautisha baina ya viwili hivi, Akaufanya huu usiku kuwa ni giza, ili mutulie humo na miili yenu ipumzike. Na Akawafanyia mchana kuwa ni mwangaza, ili mutafute maisha yenu na ili mumshukuru Yeye kwa kuwapa nyinyi neema zake hizo.