And guard yourselves against the Day when no soul will be of any help to another. No ransom will be taken, no intercession accepted, and no help will be given.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na ogopeni vitisho vya Siku ya Hesabu. Kwani hapo, hakuna nafsi itakayoifaa kitu chochote nafsi nyingine, wala Mwenyezi Mungu Hatakubali fidia, kutoka kwa hiyo nafsi, ya kuiyokoa na adhabu, wala hainufaiki kwa kuombewa na hakuna yoyote wa kuinusuru.