La vérité vient de ton Seigneur. Ne sois donc pas de ceux qui doutent.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Yale yaliyoteremshwa kwako, ewe Nabii, ndiyo haki kutoka kwa Mola wako. Kwa hivyo, usiwe ni kati ya wale wanaoyatilia shaka. Maneno haya, ingawa anambiwa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, yanaelekezwa kwa ummah wote.