C’est ainsi, car c’est avec la vérité qu’Allah a fait descendre le Livre; et ceux qui s’opposent au sujet du Livre sont dans une profonde divergence.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Adhabu hiyo ambayo wamestahili iwapate, ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu Ameteremsha Vitabu Vyake, kwa Mitume Wake, vikiwa ni vyenye kukusanya haki iliyo wazi, wakaikanusha haki hiyo. Na kwa hakika, wale waliohitalifiana katika Kitabu, wakaamini baadhi yake na kukanusha baadhi yake, wako katika ugonvi na mfarakano ulio mbali na uongofu na usawa.