Les croyants furent alors éprouvés et secoués d’une dure secousse.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Katika msimamo huo mgumu, Imani za Waumini zilijaribiwa na watu wakakaguliwa, na akajulikana mnafiki kwa kutengwa na Muumini, na wakasukikasukika msukosuko mkali kwa kuingiwa na kicho na babaiko, ili Imani yao ibainike na yakini yao izidi