Nous t’avons envoyé avec la Vérité en tant qu’annonciateur et avertisseur, Il n’est pas une nation qui n’ait déjà eu un avertisseur.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Sisi tumekutumiliza kwa haki, nayo ni kumuamini Mwenyezi Mungu na Sheria za Dini, hali ya kuwapa bishara ya Pepo wale wenye kukuamini na wakaufuata uongofu wako kivitendo, na hali ya kuwaonya Moto wale waliokukanusha na wakakuasi. Na hakuna taifa lolote la watu isipokuwa limejiwa na muonyaji wa kuwaonya mwisho mbaya wa ukafiri wao na upotevu wao.