S’il n’avait pas été parmi ceux qui glorifient Allah,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Lau si yale yaliyotangulia kwake, ya wingi wa Ibada na matendo mema kabla ya kuingia ndani ya tumbo la chewa kwa kusema, «Hapana Mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, kutakasika na sifa za upungufu ni kwako, mimi nimekuwa miongoni mwa wenye kudhulumu,»