comme le gens de Pharaon et ceux qui vécurent avant eux. Ils avaient traité de mensonges Nos signes. Allah les saisit donc, pour leurs péchés. Et Allah est dur en punition.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hali ya makafiri katika kukanusha kwao na adhabu itakayowashukia ni kama hali ya jamaa za Fir’aun na wale makafiri waliokuwa kabla yao. Wao walizikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizo wazi, Mwenyezi Mungu akawapatiliza kwa kuwatesa kwa sababu ya kukanusha kwao na kushindana. Na Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kutesa kwa aliyemkufuru Yeye na kuwakanusha Mitume Wake.