Quand deux de vos groupes songèrent à fléchir, alors qu’Allah était leur allié à tous deux! Et, c’est en Allah que les croyants doivent placer leur confiance.1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kumbuka, ewe Mtume, yale mambo yaliyowahusu kina Banū Salimah na Banū Ḥārithah wakati walipowaza kurudi nyuma, wao na kiongozi wao, mnafiki Abdullāh bin Ubayy bin Salūl, kwa kuogopa kukutana na adui. Lakini Mwenyezi Mungu Aliwalinda na Akawahifadhi wakaenda pamoja na wewe wakimtegemea Mwenyezi Mungu. Na kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, na wajitegemeze Waumini.