Que vous mouriez ou que vous soyez tués, c’est vers Allah que vous serez rassemblés.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na iwapo ajali zenu zitakoma katika haya maisha ya dunia na mkafa juu ya matandiko yenu au mkauawa katika uwanja wa mapigano, ni kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Mtakusanywa; na huko Atawalipa kwa matendo yenu mliyoyatenda.