C’est parce qu’ils disent : "Le Feu ne nous touchera que pour un nombre de jours déterminés." Et leurs mensonges les trompent en religion.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
kujiepusha huko na haki, sababu yake ni itikadi mbaya walionayo Watu wa Kitabu kwamba wao hawataadhibiwa isipokuwa siku chache. Itikadi hii iliwapelekea wao wamfanyiye ujasiri Mwenyezi Mungu na waidharau Dini Yake na waendelee na dini yao ya batili ambayo walijidanganya nayo nafsi zao.