Ils sont dans le doute, n’est-ce pas, au sujet de la rencontre de leur Seigneur ? C’est Lui certes qui embrasse toute chose (par Sa science et Sa puissance).
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Jueni na mtanabahi kuwa hawa makafiri wako kwenye shaka kubwa kuhusu kufufuliwa baada ya kufa. Jueni na mtanabahi kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, Amekizunguka kila kitu kwa ujuzi, uweza na ushindi, hakuna chochote kinachofichamana Kwake ardhini wala mbinguni.