Ne suis-je par meilleur que ce misérable qui sait à peine s’exprimer ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Bali mimi ni bora kuliko huyu asiye na utukufu. Kwani yeye anajidhalilisha katika kuataka haja zake kwa udhaifu wake na unyonge wake, na hafafanui maneno kwa ajili ya uzito wa ulimi wake.» Na lililomfanya Fir’awn atoe kauli hii ni ukafiri, ushindani na uzuiaji njia ya Mwenyezi Mungu.