Nous fîmes d’eux un antécédent et un exemple [une leçon] pour la postérité.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Tukawafanya hao tuliowazamisha baharini kuwa ni mfano uliotangulia kwa anayefanya matendo kama yao katika wale watakaokuja baada yao kwa kustahiki adhabu, na ni mazingatio na mawaidha kwa watu wa nyuma.