Et quant à ceux qui ont mécru [il sera dit] : "Mes versets ne vous étaient-ils pas récités ? Mais vous vous enfliez d’orgueil et vous étiez des gens criminels."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na ama wale waliokataa kuwa Mwenyezi Mungu Ndiye Mola wa haki, wakawakanusha Mitume Wake, na wasifuate Sheria Yake kivitendo, basi wataambiwa kwa kukaripiwa na kulaumiwa, «Kwani aya zangu hazikuwa zikisomwa kwenu huko duniani, mkazifanyia kiburi kwa kutozisikiliza na kutoziamini, na mkawa ni watu wenye kushirikisha, mnachuma maasia na hamuamini thawabu wala mateso?»